MWIGIZAJI wa
Bollywood Shweta Tripathi ameamua kujikita zaidi katika biashara ya kumiliki
timu ya mpira wa miguu ya watoto wenye umri chini ya miaka 12.
Tripathi
anamiliki timu hiyo ambayo ya watoto wanotoka katika shule mbalimbali zilizopo
katika manispaa ya mji wa mashariki mwa Bandra.
Mwigizaji
huyo anatarajia kuja na filamu kutoka katika kampuni ya Anurag Kashyap's inayoitwa
Zoo, ambaye ataigiza kama chizi
anayecheza na watoto.
Tayari kuna
wasanii wengine kama Shar Rukh Khan ambaye anamiliki timu ya kriketi ambayo
inacheza ligi ya kwanza ya nchi hiyo.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi