Wednesday, September 27, 2017

Shishi na Bella kukutana Ujerumani

Mwanamuziki wa kizazi kipya Shilole, anatarajia kufanya tamasha katika mji wa Frunkfart uliopo Ujerumani siku ya
September 30 akiwa na Christian Bella
Shilole aliandika katika kurasa yake ya Instagram ;
Siku ndo hizooooo zinayoyoma wakaz wa Germany tareh 30 mm na@bellachristian1 tutakiwasha ile mbaya pata tiket yako mapema 🔥🔥

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi