Saturday, October 24, 2015

Maneno ya Nikki wa pili kuelekea kesho Uchaguzi


·         nikkwapiliATM hazitakuwa na hela, sijui tununuwe vyakula tuweke ndani, hofu tupu....uchaguzi ama utumwa.....alafu watu wenye tunao wachaguwa ni kakundi kadogo tu kawatu.....kwan wabunge na raisi...kwa ujumla hawafiki hata
miatano......lakini wanavyo tupeleka watu milion 40 kama nyumbu wao.....mwanachi hofu hana yeye ni kupiga kura....ila mwanasiasa hofu kibao akiwaza madaraka na mahela ya watu aliyo tumia....hofu yake ni kama sumu na ukizubaa lazima akulishe

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi