Saturday, October 24, 2015

Baba Haji azuiliwa ZanzibaR kisa UKAWA

Mwigizaji wa filamu kutoka katika vyma vilivyojiunga pamoja na kuunda UKAWA, Hadji Adam maarufu kama baba Haji amejikuta akitamani uchaguzi uishi ili watu waendelee kuishi kwa uhuru baada ya kuzuliwa asisafiri kisa nguo ya Ukawa aliyovaa.



No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi