Mtangazaji machachari wa Clouds Fm ambaye kwa kiasi fulani amejikita katika muziki wa kizazi kipya, Adam Mchofu maarufu kama 'Baba Joniiii' amevunja ukimya baada ya kuona haina haja ya
kuliweka moyoni kuhusu duku duku lake la kutopigwa kwa nyimbo zake kwa mtangazaji mwenzake Sam Misigo wa East Africa Tv 'EATV' na East Africa Redio.
Baba Jonii amefunguka kwamba, ingawa hawapigi kazi nyimbo zake lakini yeye anamuunga mkono, mtangazaji huto ambaye ametoa wimbo .
478 likes
Ngoma zangu hawazipigi ila si tunawasapoti tu ✌️✌️✌️ ft @iambenpol


No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi