NYOTA wa
muziki wa Hip Hop kutokea Arusha, Jacob Makala ‘Jcb’ majuzi amefunga ndoa
Bomani na mpenzi wake wa muda mrefu Diana Jorgensen wakati huo akijiandaa na
ndoa ya kanisani mwezi wa tano.
Alisema ndoa hiyo aliifungia Bomani, ilikuweza
kuharakasha mambo yake ambayo alihitaji kuyafanya hivi karibuni.
Mwanamuziki
huyo pia amesha kamilisha albamu ya nne ya kundi lao la Watengwa, inayokwenda
kwa jina la Full ile laani, iliyofanyiwa Paris Ufaransa.




No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi