Siku ya jumamosi ya majuzi wasanii wa filamu wote walikutana katika viwanja vya Dar Live katika tamsha la Siku ya Masuper Star Lengo kubwa lilikuwa kujenga urafiki na mashirikika mengine pamoja na kukusanya fedha zitakazo saidia kujenga Ofisi ya hadhi ya shirikisho la Wasanii maarufu kama TAFU chini ya raisi wa shirikisho hilo Simon Mwakifamba. Katika tamasha hilo pia walimwarika Meya wa Ilala Jery Slaa, huku wasanii wenyewe ndio wakiwa watoa burudani wakubwa katika tamasha hilo
Jerry Slaa akisalimiana a na wasanii wa filamu Tanzania
Afande Sele ambaye alikuja kwaajili ya kuwaunga mkono wasanii wa filamu, akisalimiana na mafans wakePicha zilikuwa hivi, Huku Scopion Girl, Shilole na Snura balaaa tupu.
Rich akionyesha mambo yake jukwaani
Nani kasema Steve Nyerere hajui kucheza?
Snura ndani ya kazi juu ya kazi
Scopion Girl











No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi