| Mwigizaji Stive Nyerere kutoka kampuni ya Nyerere The Power anasema kwa sasa anakamilisha filamu yake ya Get Out, baada ya kukamilisha ile ya Long Time. Aidha amesema filamu hii imejaa kila aina vituko ambavyo watu wengin walikuwa wakivitamani kutoka kwake. Aidha alisema katika filamu hiyo pia yupo mwanadada Mainda pamoja na Shemsa Ford |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi