Saturday, August 4, 2012

Dar es salaam yafunga record kwa wingi wa watu EPBSS 2012

Hii BONGO UNIT ambayo inaendelea kukujuza juu, yaliojiri leo katika siku ya tatu ya usaili kwa mkoa wa Da-es-Salaam. Majaji wamewaona zaidi ya washiriki 4000 kwa mkoa wa Dar-es-Salaam pekee. Leo majaji wamewaona washiriki wapya na wale waliokuja kufanya usaili round ya pili ili wachujwe kupata wawakilishi wa Dar.  Majaji wamewapata washiriki watakao iwakilisha Dar kwenye 50 bora ya Epiq BSS mwaka huu. Pia majaji wametamka kuwa kundi la washiriki walokuja kwenye usaili Dar-es-Salaam ni kubwa kushinda miaka yote iliyopita. Shughuli ya uchangiaji wa damu umeendelea vizuri. 










No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi