Wednesday, August 8, 2012

Clinton acheza kwaito afrika kusini 'bado kiduku

Baada ya kuarikwa kwenye chakula cha jioni, na waziri wa mambo ya nje wa Afrika Kusini  nchini Afrika Kusini Maite Nkoana-Mashabane, Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton, aliamua kulimwaga rhumba la kwaito baada ya kuvutiwa na miziki ya Afrika. Hebu angali video hii, ilivutia zaidi,




No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi