| Mkali wa track ya Baadae Ommy Dimpozi, amesema ameshangazwa na stori zilizozagaa kwenye vyombo vya habari kwamba anatarajia kufanya safari ya kwenda Uingereza kwaajili ya kufanya video ya wimbo wake wa Baadaye. Dimpoz amesema wakati akisubiri kuhakikiwa kama safari hiyo ipo au haipo, lakini kabla hajajua juu ya safari hiyo, anashangaa kusikia kwamba tayari imeshatokahabari hiyo kwenye vyombo vya habari, wakati alikuwa bado kulizungumzia suala hilo kwakuwa halijawa sawa. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi