Friday, July 27, 2012

Mandojo na Domokaya waja na Track mpya

Baada ya kimya cha muda mrefu...
Wakali kutoka kundi la wamandavaku kutoka mkoa wa Arusha
Wamaamua kukifunja kimya kwa kuchomoka na singo yao mpya
inayokwenda kwa jina Nilimuona.
Kazi imefanywa na na Prducer Tuddy Thomas.
We realy need to saport this guyz. Pamoja.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi