| Mwigizaji wa kundi la Ze Comedy linalorusha vipindi vyake katika kituo cha televisheni cha TBC, Masanja Mkandamizaji hapamajuzi kati alitolewa kimasomaso na wasanii wa Bongo Movie, wakati wa uzinduzi wa albamu yake ya kumsifu mungu ya, HAKUNA JIPYA, ambayo alienda kuinzidulia mkoani IRINGA. Kitu ambacho cha ajabu ambacho hakikutegemewa na wengi, kwamba katika usinduzi huo, hakukuwa na msanii hata mmoja ambaye anatoka katika kundi lake la ZE COMEDY. Hakuwawa na Joti, Vengu, Mpoki, Kipara Makurega, baba Andunje wala Seki ambaye kiongozi wa kundi hilo.(Mgeni rasmi Mheshimiwa Philp Mulugo Naibu Waziri wa elimu na mafunzo akizindua albamu hiyo, juu kwenye picha) |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi