Tuesday, July 24, 2012

Johari ageukia biashara ya kuuza samaki

Nguli wa filamu nchini Johari, amegeukia maisha ya upande wa pili ambayo mume wake hayataki hata kidogo ya kuuza samaki barabrani. Maisha hayo si kwamba aliyapenda ila ni kutokana na ugumu wa maisha huku akiwa na watoto na familia nzito, hali inayompelekea lazimaatoke na kutafuta fedha kwa njia ya kufanya biashara ndogo ndogo. Hiyo ni filamu ya LONGO TIME, ambayo inaandaliwa na Kampuni ya The Power ya Stive Nyerere,ambayo mwigizaji huyo wa kampuni ya R.J Company, aliigiza kama mwanamke ambaye anapata mateso makubwa kutokana na mumewe kumtomjali ambaye ni Stive.
Wakati anauza samaki, alianza kutafuna mmoja baada ya mwigine
Mteja alikuja na kumuuzia
Ndipomumewe alipotokea, na laipomuuliza maswali matatu juu ya biashara hiyo.
Alichukua uamuzi wa kupiga teke meza yenyewe ya samaki.
Hakuna aliyetaka kuamini.
Ugumu wa maisha ya Johari ulikuwa hadi nyumbani kwake na familia yake.



Huyu ni boom man  Jafari Kisoko wa sofia Record
Camera Man Saidi akiwa kwenye kazi zake.



Mzee Kisoki mmiliki wa Sofia Record akiwa na Cath Lupia.
Lupia Junior Lupia, Mtoto wake Cath akiangalia Camera,kwelimtoto wa msanii ni msanii pia naye kaigiza kama mtoto wa Stive Nyerere.

Hata hivyo, kuna muda wa kufurahi mpaka mnasahau matatizo yenu.
Kambini

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi