| Usaili
wa Epiq Bongo Star Search unaofanyika Club Vybes, Mbeya.Vitu muhimu vya kukumbuka ni majaji na washiriki wote walisimama kimya kwa dakika moja kuwakumbuka
wahanga wa meli ya Mv. Skagit iliyozama Zanzibar. Vijana wengi wamejitokeza kwenye usaili.
Shighuli ya uchangiaji damu pia unafanyika Club Vybes na washirki
wameonyesha muamko mzuri kwenye shughuli hii. Usaili utafanyika leo na
kesho Club Vybes, Mbeya na mwisho wa siku ya kesho tutakuwa tumewapata
wawakilishi wa Mbeya. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi