Sunday, June 17, 2012

Super Nyamwela avuta jiko


Mwanamuziki wa kundi la Extra Bongo, Hassan Nyamwela , Super Nyamwela', leo juni 17, amefunga ndoa na Bi Hawa, katika msikiti uliopo maeneo ya Kinondoni ambapo binti huyo alikuwa akiishi. Super Nyawela ameoa baada ya kufuata kwa mke wake wa mwanzo kufariki. Mwanamuziki huyo ambaye pea ni mnenguaji, katika bendi hiyo ameoa huku mwanamke huyo akiwa na mimba ya miezi saba. Super Nyamwela ni mtoto wa pili katika watoto wa tano, wakati huo wawili wakijihusha na muziki kwa upande wa uchezaji, na wawili wanawake, wakati kaka yake mkubwa alishawahi kuwao na kuwacha. Mungu akubaliki uwe na maisha marefu...

Sikuhizi kila ndoa inakuwa na cheti, sasa kama wewe umeoa bila cheti jipangee... Super Nyamwela akisa Cheti pamoja na mkewe


Hapa lilikuwa tukio muhimu sana la kupigana makisi








Kaka yake wa kwanza wa Super Nyamwel, anaitwa Kharifani Nyawela aliyevaa kanzu nyeupe.











No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi