Sunday, June 17, 2012

Epiq Bongo Star Search yawasha moto Dodoma


Tamasha la kutafuta vipaji vya wanamuziki  nchini la Bongo Star Seach, ambalo kwa sasa linadhaminiwa na kampuni ya Zantel kupitia EPIQ NATION na kuitwa EPIQ BONGO STAR SEARCH, limezidi kupamba moto mkoani Dodoma, katika kuwatafuta wale wakali ambao watakuja kuiwakilisha Dodoma hapa jijini Dar el salaam,  wakati wa kumtafuta mshindi wa Tanzania ambaye atajivyakulia milioni 50. Tamasha hilo usajili wake na tamasha limefanyika leo asubuhi katika hoteli ya Epiq Bongo Star Search uliofanyika asubuhi ya leo kwenye uwanja wa Royal Village Hotel. Maelezo ya picha yanapatikana kwenye excel sheet ilioambatanishwa na meseji hii. Kitu muhimu cha kukumbuka ni kuwa leo kuna usahili unaendelea na mwisho mwisho wa siku hii ya leo watachaguliwa washrii ambao wataiwakilisha Dodoma pindi mashindano yatakavyo kuwa dar.

Mawazo na michango yenu yanahitajika katika kuendeleza uhusiano mzuri na katika kupata taarifa/picha bora zaidi. Kama utapenda tuongeze anuani ya barua pepe ili kupata taarifa zitakazo kuwa zinatumwa, tafadhali ongeza anuani hiyo na ujibu barua pepe hii ukiweka majina na wadua wengine wa habari.



Washiriki wakifurahi kwa pamoja



Vikao vya dhalula viliendelea







Madam Rita akitoa maoni yake kuhusu jana na usahili wa Dodoma kwa ujumla


Digital diary 17- June Vicky (Swahili)
 
Digital diary 17th June Vicky (English)

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi