| Kampuni ya ZUKU Tv wameamua kushiriki katika kukuza tasnia ya filamu nchini kwa kuingia katika kuzamini, Tamasha kubwa na la kimataifa nchini la Filamu Zanzibar linalojulikana kama Tamasha la Majahazi au Zanzibar Film Festivel 'ZIFF'. ZUKU imetia sahihi ya mkataba wa Dola Milioni moja. Sherehe hiyo iliudhuliwa na wasanii mbalimbali wakiwemo wa filamu wanamitindo na muziki wa bongo Fleva. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi