MWANAMUZIKI wa kike ambaye
anafanya vizuri kwa sasa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, Lina Sanga ‘Linah’
anatarajia kuzindua video yake mpya ya Ajubao na Linah, aliyoifanyia nchini
marekani.
Aliimbia safu hii, kwamba uzinduzi huo utakuwa wa kimataifa pia itakuwa
ni mara ya kwanza tangu kufanya nchini na kufanya tamasha jijini Dar es salaam, baada ya kuwa
Marekani katika Tour iliyomchukua miezi
kadhaa.
Pialisistiza katika tamasha hilo litalofanyika siku ya jumapili Maisha
Club atasindikizwa na wasanii kibao akiwemo, , atasindikizwa na Mwana Fa,
Ditto, Amini, Country Boy pamoja na mwana Fa. Aidha alisema nyimbo zote atapiga siku hiyo itakuwa ni Live band, ili
kuonyesha ujuzi wake alioupata akiwa Marekani. Katika Tamasha hilo, kiingilio ni shilingi 7000, huku amewataka kuunga
mkono mashabiki zake wote.
|
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi