Thursday, June 21, 2012

Ujio wa Dogo Aslay, ndani ya Kitabu, filamu na Albamu ya Nakusemea

BAADA  ya kutamba kwa muda mrefu na wimbo wa Nakusemea, msanii  Aslay Sadiq ‘Dogo Aslay’ anatarajia kuzindua  kwa pamoja wimbo huo ukiwa katika  filamu, kitabu  pamoja na albamu.
Akizungumza na safu hii alisema uzinduzi huo utafanywa siku ya tarehe 24, mwezi huu ambapo atasindikizwa na Ferooz Mrisho ‘Ferooz’, Mwijuma Hamisi ‘Mwana Fa’ Ize man, Tmk Wanaume ,Mkubwa na Wanawe pamoja na bibi Cheka.
Aidha alidai kwamba kufanya hivyo ni kutaka kuweka histori katika tasnia ya muzuki, akiwa katika umri mdogo.
“Itakuwa ni filamu na kitabu ambacho si cha kukosa kwakuwa nitaeleza kile ambacho watu wanafanya wakiwa kwenye familia zao na kupelekea matatizo makubwa  ya kifamilia” alisema.

Timu mzima ya Mkubwa na Wanawe

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi