Friday, June 22, 2012

Bibi Cheka aipania Mwanza City

Wasanii wa kundi la Mkubwa na wanawe, wazidi kujifua kwenye mazoezi kwaajili ya kupanda jukwaani mkoani Mwanza... Hebu angalia kwanza, harafu pata picha siku hiyo

Dogo Muu akionyesha kazi, siku ambapo atakuwa jukwaani





Mkubwa Fellla, akiwaonyesha jinsi ya kufanya ili kuwa wasanii bora, pembeni akiwa na Meneja wa kundi hilo Yusufu Chambuso

Dogo Aslay hapa akijiachia, kuonyesha staili mpya ya uchezaji wa kwaito


No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi