Leo
washiriki watano watakao iwakilisha Dodoma pindi mashindano yatakapofika
Dar wamechaguliwa. Leo jioni kutakuwa na WAKAWAKA party (Epiq Bongo
Star Search after party) Royal Village Hotel – Dodoma kuanzia saa 1
jioni wasanii watakao kuwepo ni Mwasiti, Ditto na Linex. Mawazo
na michango yenu yanahitajika katika kuendeleza uhusiano mzuri na katika
kupata taarifa/picha bora zaidi. Kama utapenda tuongeze anuani ya barua
pepe ili kupata taarifa zitakazo kuwa zinatumwa, tafadhali ongeza
anuani hiyo na ujibu barua pepe hii ukiweka majina na wadua wengine wa
habari.
Wasanii wa EPIQ BONGO STAR SEARCH wachangia damu salama
Hebu waangalie jinsi wanavyoongelea na wanavyotoa damu katika kuchangia, ilikusaidia wakinamama wajawazito, wanaopata ajali, na watu wenyematatizo mbalimbali. Kumbuka damu haitengenezi, ila inatokanana na mwanaadam. CHANGIA NAWE PIA....
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi