Wednesday, June 20, 2012

Cloud 112 amtambulisha mwalimu wake wa U- Mc

Mwigizaji na Mshereshaji ‘Mc’ Issa Mussa  ‘Cloud 112’ juzi alimtangaza  wazi mwigizaji mwenzake Hussein Awadhi ‘Dr Cheni’ kwamba ndiye mtu pekee aliyemshawishi na  kumfundisha kazi ya ushereshaji .
Aliongea hayo wiki hii katika harusi ya Bwana Rodrick Mkapala na Bi Rehema Mwafulana  ambayo ilifanyika katika ukumbi wa polisi Msasani, ambapo yeye alikuwa kama Mshereshaji katika sherehe hiyo.
Wakatiakisherehesha ndipo alipomuona rafiki yake huyo, ambapo alimwita mbele na kutangza kwamba yeye ndiye aliyemfundisha kazi hiyo.
“Aliniambia naweza na kuanza kunichukua katika sherehe zake, nikawa pembeni naangalia jinsi anavyofanya hadi baadaye na mimi nilipokuwa mtaalam kama yeye” alisema.




Dr Cheni akiwa na Dotnata

Syna

Bendi ya Tanzanite wakitoa burudani.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi