Saturday, June 23, 2012

EPIQ BONGO STAR SEARCH ndani ya Zanzibar watu wapata mwamko

Watu wajitokeza kwa wingi kuchukuwa fomu kwaajili ya kupamba katika shindano la kuinua vipajila Epiq Bongo Star Search 2012, ambalo mshindi wake atakuja jijini Dar es salaam kwaajili ya kuungana na washiriki wengine na baadaye kumtafuta mshindi mmoja atakayekuwa  mshindi.
 


No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi