Friday, June 29, 2012

Dogo Aslay apata mwaliko Kenya

Mwanamuziki leo ameondoka kuelekea Kenya katika tamasha, a East Afrika Mseto Campus Tour nchini Kenya baaday a kulidhishwa na uzinduzi wa  albamu yake ya kwanza ‘Naenda Kusema’
Aslay alipewa mwaliko huona  stesheni za radio ya  Citizen na Mounta Kenya University za jijini Nairobi huku akisindikizwa na kundi zima la Tmk Wanaume Famili chini ya mkubwa Fella.
Alisema tamasha hilo alilifanyika  jana saa nane mchana katika ukumbi wa Thika, ndani ya M.K.U jijini hapo, huku akisindikizwa na Aman Temba ‘Mh Temba’.
Hata hivyo wasanii hao wamesema wanatarajia kurudi mapema,ili kuungana na wasanii wengine katika tamasha litakalo fanyika Mwanza julai 7 mwaka huu
Dogo Aslay akiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu Julias Nyerere

Bichwa, Said Fela na Dogo Aslay

Kundi zima la Tmk Famili

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi