| Mwanamuziki Prof Jay leo amesafiri kwenda mkoani Musoma katika kuhakikisha anatoa burudani katika mashindano ya Umiss yatakayofanyika kumtafuta Miss Mara . Akiwa uwanjani wa ndege wa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere aliweza kukutana na wasanii wa Tmk ambao walikuwa nao wapo safari kwenda Kenya. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi