Thursday, May 24, 2012

Stiven Nyerere azindua Mwalimu Nyerere kwa kutoa msaada wa watotoyatima

Nyota wa filamu nchini Stiven Nyerere ameizindua filamu yake ya Mwalimu Nyerere kwa njia ya kutoa msaada katika kituo cha Maunga, kilichopo Ananasif Kinondoni jijini Dar es salaam ilikuenzi jina hilo. Alisema kufanya hivyo ni kama njia ya kumuenzi baba wa Taifa hili, kwani yeye alikuwa akipenda sana watu jambo ambalo anaamini hata yeye akifanya hivyo ni zawadi kubwa wa muasisi huyo. Stiven anasema alipofika Butiama kwa mwalimu, alikuta watu wengi wakiwa na hamu ya kumuona mtu ambaye anaitwa Stive Nyerere jambo ambalo walifurahi sana kumuona. Filamu ya Mwalimu Nyerere inatarajia kuingia sokoni na kampuni ya Steps Entertaiment siku ya ijumaa ya tarehe 26 May.


Stiven Nyerere akiingia kwenye chumba cha watoto wakike katika kituo hicho na kushauri itabidi waongeze madilisha kwakuwa kuna dilisha moja tu.
Stive Nyerere akiwa katika chumba cha watoto wa Kiume
Wasanii wa Bongo Movie wakiingia
Patrick wa Channel 5
Stiven Nyerere akitoa misaada kwa watoto



Model wa Clouds Fm
Bibi Zaibu Bakari akieleza jinsi alivyofurahishwa na kitendo cha wasanii wa filamu wakiongozwa na Stiven Nyerere na Step Entertaiment katika kuwasaidia watoto waishio mazingira magumu




Model wa Clouds Fm, Betram Legama na Osca Jobu wa gazeti la Habari Leo.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi