| Dada yake Sajenti |
| Sauda Mwilima wa Star Tv |
| Mr Kupa alikuja kwaajili ya kuwakilisha wasanii wenzake, ambao walikuwa wakipigiwa simu lakini wakionyesha walikuwa bize sana. |
| Keki ya Birthday |
| Sajeenti akimlisha mwanaye keki. |
| Wanasema siku hizi vijana ndiyo wanamili fedha, huyualimwaga mafedha katika kutajwa kwenye koponi ya majina |
| huyu alikuwa akichat mwanzo mwisho. (BONGO UNIT INAKUTAKIA MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA.......amini) |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi