NYOTA wa
filamu Stive Nyerere amesema katika filamu yake ya Respect Nyerere ameigiza
mwanasiasa na kiongozi mkubwa wa hapa ilikuvuta taswira mpya katika tasnia ya filamu. Stive ambaye
ameungana na Mainda katika kampuni moja ya The Nyerere Power, amesema kwamba mwanasiasa huyo ambaye anaamini siku ya uzinduzi
wa filamu hiyo anatarajia atakuwepo ‘Surprise’. Alisema
kufanya hivyokwakuwa baba wa taifa mwalimu Nyerere alikuwa kipenzi cha Watanzania
wengi. Hivyo
uzinduzi wa filamu hiyo anatarajia kuufanya katika viwanja vya Leaders Club ilikutoa
nafasi kwa kila mmoja kuiona. “Nipo kwenye
mikakati ya mwisho katika kukamilisha uzinduzi huu, kwakuwa nataka uwe wa kipee
na wakuigwa” alisema.
Pia kutazinduliwa
na filamu yake nyingine ya Mke mwema, na
baada ya hapo ataenda Zanzibar kwaajili ya filamu ya Ilove You Zanzibar.
|