NYOTA wa filamu Aunt Ezekiel amesema
filamu ya Siri Sirini itakayotoka
hivi karibuni huenda ikasababisha kuundwa kwa kampuni mpya ya utengeneza jiwa filamu
nchini akishirikiana Haji Salum ‘Mboto’. Aunt amesema
amekuwa mara nyingin wakifanya kazi kwa
pamoja na Mboto, hadi kupelekea kuingia kwenye mazungumzo ya kuunda kampuni baada ya
kuitumiakampuni anayomiliki Aunt sasa hivi. Aidha alisema
kwamba filamu hii wakiikamilisha itakuwa ni ya tatu, baada ya zilizotoka filamu ya Mke
mwema, House boy & girl na sasa hivi
hii Siri Sirini na wakatihuo wakijiandaa
na filamu ya Radio Presenter. “Pia tupo
katika kujadili kama tuendelee kutengeneza filamu za kuchekesha au tubadilike
na filamu makini” alisema Aunt. Alimalizia
kwa kusema kwamba filamu zao wanategemea
sana maoni kutoka kwa wadau na mashabiki wao.
|