Saturday, March 10, 2012

Uzinduzi wa Ongea na Janet ulinyofanyika

tangazji wa muda mrefu kutoka ITV Janet, jana alikuwa akifungua kipindi chake cha kwanza kwa upande wa Tv kinachokwenda kwa jina la Ongea na Janeti.
Kipindi hicho ambacho kwa bahati mbaya kilishindwa kuruka katika stesheni ya Clouds Tv, na hatmaye walifungua Shampeni kwaajili ya kukubariki wakati mikakati ikifanyika.
Aidha fundi mitambo wa Clouds Tv walisema kutoruka kwa kipindi hicho kunatokana na program waliyoitumia katika kuhifadhi, imeshindikana kusomeka katika programu wanayoitumia wao na kusababibsha,
kuibadili ili kuweza kutumika kama wanavyohitaji wao.

Mume wa Janeti, akiwa kwenye pozi
mama aliyebarikiwa sauti, Regina Mwalekwa
Bingwa wa dunia upande wa Middle hight kwa wanaume katika mchezo wa  Kickboxer Josephat  Kaseba akiwa na mpiganaji wa Kickboxer upande wa akina mama anayejulikana kwa jina la Pendo
Cloud112 na Ay wakiwa kwenye misosi
Dotnata akiwa na Poshi mumewe aliyevaa nguo nyeupe