Saturday, March 10, 2012

Hatmani asafirisha mwili wa bibi yake

Mwigizaji wa filamu Hatman juzi tarehe 7 alifiwa na bibi yake Belkumana Mbogoro aliyezaliwa mwaka 1928,na hatmayeleo wamefanikisha kwenda kuzika. Wasanii mbalimbali waliwezakuudhulia kwenye msiba huo,lakini lilipokuja sualala  kwenda kuchukua mwili wa maiti Monchwali na kusafirisha waliokwenda ni wachache sana jambo ambalo linashangaza. Hawa hapo juu ndiyo wasanii ambao walikuwa pamoja nao, ingawa wengi wao walisikika walikuwepo kwenye msiba nyumbani, na wengine wakiwa na dharura za hapa na pale, jambo lililopelekea kutofika  Muhimbili kuchukua mwili na kusafirisha mkoani.
Hatman akiwa kwenye aliyevaa shati jeusi akiwa kwenye maombi
Bwana mchungaji wa kilokole, akitoa maombi kwa waumini
Picha ya marehemu ikiwa juu ya jeneza
Msanii Keti na mwenzake wakiwa na wanawake
Mr Kupa naye alikuwa bega kwa bega tangu nyumbani kwa mrehemu
wengine