| Mwanamziki ambaye kwa sasa anafanya vizuri sana katika upande wa Kurap kwenye miziki ya Bongo Fleva Kitokololo, kutoka katika chimbo za Fm Academy, amesema kwa sasa amevutiwa ana baada ya kufanya kazi na wasanii wa Bongo Fleva akiwemo Young D 'Tunapenta na Dada ameolewa', pia baadae akafanya wimbo na Jux. |
|
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi