| Sheeta 'Chif Mswati' akiwa kwenye pozi wakati ajivuta kuwapa sapoti wasanii wafilamu |
| Jamani Bongo Movie kuzuri, hawa wote ni wadau na wengine wasanii kwa bahati majina yao sijayajua lakini ilikuwa burudani kwenda mbele |
| Kimwana wa Manyewe mwaka 2001 wanamwita Sajenti, ambaye pia kwa sasa naye ni muigizaji mzuri katika Bongo Movi |
| Hk ambaye ni Mc wa ukumbi wa New Maisha Club, akiwa na Tito Charlos muigizaji wa filamu za kibabe |
| Ah!! Mwanadada Maya!! |
| Hatmani akiwa na mshika hazina wa Bongo Movie na muigizaji wa kwanza kumiliki magari mawili ya kifahari Vicenti Kigosi aka Ray |
| Wapi Ali Akida akiwa amevaa kapero, anasema tayari ameshamaliziana na Mashujaa kwa hiyo sasa ni hivi ni mwanamuziki halali kabisa wa Mashujaa |
| Stive nyerere akiwa kwenye kikoti chake |
| Vinywaji vilikuwa vya kumwaga |
| Fidforce kiongozi wa bendi ya mashujaa, akiimba jukwaani |
| Wema hapa alikuwa na Stive Nyere, cha ajabu kila Stive alipokuwa akimwangalia Wema basi alikuwa akicheka sijui nini alikuwa akifikiria. |
| Hee!! Alipoonekana Barnaba, waigizaji wa filamu wakaita Shemmm!! lakini haikuwa tatiozo Shilole alipopanda jukwaani alimuita. Ndipo Barnaba Boy alipokwenda na kujua bonge la shangweee. |
| Barafu akiwa na Libert |
| Mashujaa wakiwa jukwaani, Aisha Twiga na Milinda Nyeusi |
| Jadol Fidforce na Chaz Baba |
| Hii ndiyo kamati nzima ambayo inaongoza wasani wa Bongo Movie, lakini wakiwa chini ya Jb na Cloud112 |
| Angekuwa mwanamme ninge mwita pedezee Mama Lolwa, lakini mwamke sijui anaitwaje. Ni mmoja wa watu muhimu sana katika Bongo Movie |
| Binti Mfupi na machachari katika Bongo Movie, anaitwa Mainda ambaye yeye ni Stive Nyerere wanunda kampuni ta The Power Nyerere |
| Maswahiba wawili walipokutana hapa, kati ya Jb na Ray |
| Jackline Wolper ndani ya pozi |
| Huu ulikuwa muda wa burudani, huwezi amini Stive Nyerere alivyofunika pindi alipoanza kuimba Ki kongo. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi