| Dogo Aslay akiwarusha wana Media |
| Hata waandishipia wanaweza kucheza mpira |
| Kitokololo naye alikuwepo kutoka Fm Academy |
| Ngumi nazo zilikuwepo,lakini sio za ovyo ni maalum ingawa kuna kipindi refa alikuwa akijificha nyuma kama unavyoona. |
| Hapa East Afrika wakiangaliakabumbu ndani ya viwanja vya Msasani mambo yalikuwa makubwa sana. |
| Sasa zamu ya kilamtu na wake,ilikuwa hiviii |
| Bibi Cheka, DogoMu , Dogo Aslay na wengine wanaounda kundi la mkubwa na wanawe. |
| Nurudin, akiwa na Dogo Aslay na Dogo Mu. |
| Aliyevaa kapero nyekundu mkali ambaye kwa sasa kahamia kwenye Media,anaitwa Soggy Dog Hunter |
| Madensa wa Fm academy wakijiandaa kukwea jukwaani |
| Mh Temba akiwa na Kichwa, wakijiandaa kupanda jukwaani |
| Bibi Cheka na Said Fella,ingawa baada ya show,bibi Cheka alijikwaa na kuumia puani jambolililopelekea kupelekwa Firsst Aid na kupata huduma ya kwanza kabla ya kuondoka. |
| Mambo yalikuwa hivii, hata Sam naye alikuwepo kutoka East Africa Tv |
| Nyoshi El Saadat |
| Bibi Cheka naye alifuka sana katika jukwaa,lakini utambulisho wake unakuja rasmi katika Pasaka |
| Kiwewe na Boke wa Big Brother |
| Samweli Sitta ila yeye alisema kwamba hakuna anayeweza kumzuia asigombee urais.... |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi