Wednesday, February 29, 2012

Zola D na Karapina walipolishambulia jukwaa Maisha

Siku ambayo ilikuwa wabishi wa mji walipokutana katika mjengo wa Maisha Club na kuonyesha uwezo wao ilikuwa hivi. Hapa Karapina kutoka kikosi cha mizinga, kule Zola D 'John Cena' mambo yalikuwa si mambo, hali ilikuwa tata pale Karapina alipozindua nyimbo zake mbili ikiwemo ile ya Serikali.
Hebu angalia hapa, ndipo ujue kama muziki unawenyewe....
Hapa kazi kwenu mapromota feki....