|
Mwigizaji wa filamu za kuchekesha, Haji Salum ‘Mboto’,
amesema filamu nyingi anazoshirikishwa huandika mwenyewe muongozo wa mchezo
wake ‘script’ sababu ya kushindwa kumchezesha.
Mboto amesema mara nyingi anapopewa huwa zinamapungufu
kutokana na uigizaji wake, hivyo na kujikuta akiandika upya yake wake.
Anasema msanii pekee ambaye amekuwa akimchezesha vizuri ni
Single Mtambalike ‘Rich’, kama kwenye
filamu ya Mtaani Kwetu.
Achoniandikia ndicho mimi inanipashwa
kufanya na huwa nakubaliana nacho kwakuwa hajakosea kwa mahitaji yangu ingawa kama nitabadilisha ni kidogo sana.
|
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi