 |
Msani wa muziki wa kizazi kipya Karama Masoud ‘Kara pina’
anatarajia kuzindua nyimbo mbili Serikali na Lawama huku wakisindikizwa na
mapambano ya ngumi.
Mwanamuziki huyo ambaye alishwahi kugombania udiwani kata ya
Ananasifu, amesema wasani kama J Moe, Dogo Amidu, Zola D na Ibra Brash
watasindikiza uzinduzi huo.
Aidha amedai pia kutakuwa na mapambano ya ngumi, kati ya
Zola D na Seck Erison wakatio huohuo Francess Miyyeyusho na Bad Punch na
onyesho la mavazi kwa kinadada wa Ki hip hop.
|
Uzinduzi huo anatarajia kuzindua siku ya jumapili, New Maisha Club akiupa jina la Wabishi wa Mji.