Mwanamuziki Amini Mwinyimkuu ‘Amini’ amesema jambo laa kuhama kwake THT kwa sasa hawezi kuliongelea ingawa tayari zimeshazagaa mtaani. mwanamuziki huyo aambaye alitamba na wimbo kama Robo saa, na Mapenzi yameteka dunia amesema maneno hayo yanatokana kwakuwa hajaonekana kwenye matamasha ya THT. Hata hivyo mwanamuziki huyo amesema ipo siku ataongea ukweli juu ya jambo hilo kwakuwa na mapema sana. |
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi