alisema mashindano hayo yalianza Septemba 6 katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam, ambapo yamechukua siku tatu yakihusisha nchini wanachama kutoka Afrika ikiwemo Uganda, Kenya, Nigeria na zingine.
Alisema kwa mara ya kwanza Tanzania inaandaa mashindano ya Gofu Afrika , yanayofanyika kila baada ya miaka miwili na kuudhuliwa na nchi 21 huku zingine zikishindwa kuudhulia kutoka na changamoto mbalimbali ambapo zipo zilizokosa viza zipo zilizokubwa na mafuliko na zingine kocha kufika ila wachezaji kutowasili.
“Matarajio yetu wageni wafurahi, lakini pia tufanye vizuri kwakuwa tumeanza vizuri na tunamaliza vizuri”
Wakati huo huo rais wa mpira wa Gofu wanawake kutoka nchini Nigeria, Julieth alisema hii ni mara ya kwanza kufika nchini Tanzania, ambapo amekuja kwaajili ya mashindano ya Gofu Afrika.
“Nimefurahi kufika Tanzania, nimefurahi jinsi walivyoandaa tamasha, nimependa vyakkula vya Kitanzania lakini pia nimefurahi jinsi walivyotupokea kuanzia uwanja wa ndege mpaka hotelini ambapo mazingira ni mazuri na yakirafiki” alisemaa.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi