Tuesday, October 3, 2017

Bongo Fleva inaniogopa mimi



MWANAMUZIKI wa muziki wa Singeli Seleman Jabir ‘Msagasumu’ amesema wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, hawana hofu na  muziki wa Singeli isipokuwa wanahofu nay eye katika muziki wao wa Bong
o fleva.
 Msagasumu ambaye moja ya kazi yake nzuri ni Mwanamme Mashine amesema wasanii wa muziki wa singeli hawana ushirikiano hata kidogo, hivyo wasanii wa muziki mwingine huwa wanamufia yeye na sio muziki huo ambao kwa sasa kama unapoteza ramani.

Alisema  amekuwa akipigana na kupambana na nafasi yake ili kuweza kufanya vizuri zaidi, sababu anaamini muziki wa singeli ni mali yake kwakuwa ndio aliyeuanzisha.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi