Mwana muziki wa dansi Khalidi Chokoraa amesema mambo yake yameanza kumuendea
vizuri tangu alipoamua kuachana na bendi ya Twanga Pepeta na kufungua bend yake
ya Mapacha Watatu.
Chokoraa
ambaye alitoka bendi ya Twanga amepata
safari ya kwenda kufanya matamasha mkoani Arusha, ambapo atapiga sehemu
mbalimbali.
Alisema pia
tayari amesahapata sehemu ya kupiga kila jumamosi katika hoteli ya Holday Inn,
na tayari ameshaanza kupata nafasi za kuombwa kupiga sehemu zingine tofauti.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi