Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Mhandisi
James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA) ambapo hapo mwazo alikuwa akiikaimu nafasi hiyo baada
ya Dkt. Ally Yahaya Simba aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kutenguliwa.
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi