Thursday, October 29, 2015

Feiza aendelea kumshambulia Sugu na mashabiki zake

Wakati mbunge wa Mbeya Mjini, Mr Two, Sugu au Joseph Mbilinyi aking'ang'ania kiti chake cha Ubunge, huku mama watoto wake Feiza Ally ambaye kwa sasa wametengana, ameendelea kutupa maneno makali, huku akiwataka mashabiki wa Mbunge huyo kumuuliza kwamba ameachwa au ameachika kutoka kwa mwanamama huyo wa Big Brother.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi