Wakati kitim timu cha watu kuvunjiwa vibanda vyao huko maeneo ya Mburahati, Mabibo na maeneo mengine ya Uswahili ambapo ugonjwa wa Kipindu pindu umekuwa ukishika kasi. Filamu mpya ya Cloud
112 nayo inaingia sokoni, jambo ambalo watu wengi wamefikiri kwamba imekuja kwa muda muafaka.
Akizungumza mmoja wa waandaji wa filamu hiyo, Halima Yahaya 'Davina' alisema filamu hiyo imekuja kwa kipindi hiki pia kuashiria biashara hizo ni sawa na biashara zingine.
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi