Mteule wa Chama cha Mapinduzi
9CCM) katika kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 mwaka
huu, Dk John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara wa
kumtambulisha kwa wananchi wa Dar es Salaam katika uwanja wa Mbagala Zakhem
katika jimbo la Uchaguzi Mbagala, Wilayani Temeke leo.

No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi