Wednesday, July 15, 2015

Mteule wa CCM, aikusanya Dar.

 
Mteule wa Chama cha Mapinduzi 9CCM) katika kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu utakao fanyika Oktoba 25 mwaka huu, Dk John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara wa kumtambulisha kwa wananchi wa Dar es Salaam katika uwanja wa Mbagala Zakhem katika jimbo la Uchaguzi Mbagala, Wilayani Temeke leo.  




No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi