MWIGIZAJI wa filamu nchini, Chuchu Hansi amesema safari
zake za India na Burundi zilikuwa kwaajili ya kazi zake binafsi na si za filamu.
Akizungumza na Bongo Unit, alisema safari hizo alitumia kwa muda wa wiki mbili, kwaajili ya kibiashara ili
kuweka mambo yake safi wakati atakapokuwa kwenye tasnia ya filamu.
Alisema hata hivyo baada ya
kurudi, alifikia kufanya filamu ya Vicent Kigosi ‘Ray’, ambayo ameimaliza siku
si nyingi.
“Nilikuwa kwenye safari zangu za
kimaisha na kazi zangu na sikuwa huko kwaajili ya filamu” alisema.
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi