Saturday, May 11, 2013

Batuli alamikia karamu za waandishi.

Nyota wa filamu nchini, hivi karibuni baadhi ya magazeti yalimwandika kwamba anakansa ya titi na mwenyewe kukanusha kupitia Blog ya Bongo Unit, lakini leo hii ameandikwa tena kwenye moja ya Majarida na mwenyewe kujibu kama hivi:
 "Usipotoshe jamii kwa taaluma yako, mnanikwaza sana kwa habari isiyo ya kweli, tumieni kalamu zenu vizuri."

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi