Wednesday, January 16, 2013

H.baba na Frola wamaliza likizo Mwanza




NYOTA wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Hamisi Ramadhani ‘H.Baba’ anatarajia kurudi toka Mwanza alipokuwa na mpenzi wake Frola Mvungi ambapo walichukuwa mapumziko ya miezi miwili kuja Dar es salaam kwaajili ya kuachia ngoma yake mpya Funga Zipu.

No comments:

Post a Comment

https://www.facebook.com/gomesamohamedi