.
Wednesday, January 16, 2013
H.baba na Frola wamaliza likizo Mwanza
NYOTA wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Hamisi Ramadhani ‘H.Baba’ anatarajia kurudi toka Mwanza alipokuwa na mpenzi wake Frola Mvungi ambapo walichukuwa mapumziko ya miezi miwili kuja Dar es salaam kwaajili ya kuachia ngoma yake mpya Funga Zipu.
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi