Kama uliwahi kukutana na filamu yenye mikasa ya kutisha na ya kusisismua basi hii kiboko. Katika risti humo ndani kuna Chopa wa Mchopanga, Irene Uwoya, Gabu, Chuchu Hansi, Rich mgogoro mkubwa katika ya watu kulilia roho yao na wengine kulilia milki yao. Gabu anaamini ujio wa wageni kwenye imaya yake, ni kuja kuchukua maeneo yake cha msingi ni kuwaua, kumbe hao watu wenyewe ni mabishoo. Walikuja kijijini kutembelea familia, wengine kufanya uchunguzi wote wanaingia kwenye mkumbo mmoja, hiyo ndiyo filamu ya SAFARI.
Picha zake za uhakika zilichukuliwa hadi juu ya miti, hapa Chidi akitafuta Engo nzuri
Baada ya uvamizi sasa waliendelea kujadili,
Miongoni mwa vitu vya kuvutia katika filamu hiyo ni mapango ya Amboni
Misheshe zilianzia hapa, kila mmoja alikuwa yupo tayari kufanya chochote kuokoa maisha yake.
Mauaji ya kinyama yalianza mbele ya macho yao
Hapa wakiwa hoi baada ya kazi
Uchawi nao ulikithiri kupindukia
Ilikuwa kazi ya kukimbia huku na kule kuokoa roho
Picha zake za uhakika zilichukuliwa hadi juu ya miti, hapa Chidi akitafuta Engo nzuri
Baada ya uvamizi sasa waliendelea kujadili,
Miongoni mwa vitu vya kuvutia katika filamu hiyo ni mapango ya Amboni
Misheshe zilianzia hapa, kila mmoja alikuwa yupo tayari kufanya chochote kuokoa maisha yake.
Mauaji ya kinyama yalianza mbele ya macho yao
Hapa wakiwa hoi baada ya kazi
Uchawi nao ulikithiri kupindukia
Ilikuwa kazi ya kukimbia huku na kule kuokoa roho
No comments:
Post a Comment
https://www.facebook.com/gomesamohamedi